Jumatano, 29 Julai 2015

Habari za wakati mpendwa
msomaji!
Kuna sababu mbalimbali zilizopelekea
binadamu kubadilisha mifumo ya kuishi (life style) na hii imesababisha
mabadiliko makubwa sana katika upande wa ujenzi tokea kuishi kwenye vichaka na
miamba/mapango mpaka sasa kwenye majengo. Hivyo basi hatuna budi kukupa historia
za tamaduni zetu na maeneo...
Jumanne, 28 Julai 2015

Habari za wakati! Nia na madhumuni ya
ujumbe huu ni kukujulisha wewe dalali na fundi wa mambo ya ujenzi kama vile
fundi mwashi, umeme, gypsum, rangi, bati, nk. kwamba tunataka kuwasiliana na
wewe kwa ajili ya mambo mbalimbali ya kibiashara na kupeana fursa.
Unachotakiwa
kufanya
Tutumie ujumbe
kwenye email hii ujenzielekezi04@gmail.com...
Jumamosi, 25 Julai 2015
Karibu sana mpendwa msomaji wa makala hizi za ujenzi. Leo tunaendelea na mfululizo wa makala zetu za ujenzi kama ilivyoada.Leo tunaangazia kuhusu Sauna au Bafu mvuke. Huenda ulishawahi kusikia kuhusu hili neno au kupata kutumia kabisa chumba hiki.Sauna huweza kujengwa nje ya jengo kuu au likawa ndani ya jengo kuu. Sauna au ( Bafu la mvuke...

Habari za wakati mpendwa
msomaji! Karibu tena kwenye uwanja huru wa kujipatia taarifa na elimu mbadala
kwa mambo ya ujenzi.
Mpendwa msomaji utaratibu wa
kuweka chumba cha kupikia (kitchen) kwenye nyumba ya kuishi(residential) ulianza
kuzingatiwa zaidi miaka ya 1920s na katika nchi zetu za kiafrika miaka ya 1970s
japo mpaka...
Jumatano, 22 Julai 2015

Habari za wakati mpendwa msomaji!
inawezekana vitu hivi ukawa ushawahi kuviona lakini jinsi umaliziaji wake
ulivyokuwa ukiambiwa ni matairi usiamini.
sasa hapa tuangalie baadhi ya picha
zinazoonesha urembo katika majengo uliotumia matairi mabovu ya magari kama
malighafi.
kuona urembo mwingine unaovutia...
Jumamosi, 18 Julai 2015

Habari za wakati mpendwa msomaji! karibu
tena katika blog hii inayokupatia taarifa mbalimbali na kukuelimisha katika
mambo ya ujenzi.
Wakati mwingine watu hawapendi kukaa
nyumbani kwa sababu kuna vitu havipo nyumbani mfano mtu ni mwanamichezo na kwake
hata sehemu ya kuruka kamba haipo Je atapata vipi hamu ya kukaa nyumbani? hivyo...
Ijumaa, 17 Julai 2015

Habari za wakati mpendwa msomaji! hapana
shaka ushawahi kusikia usemi wa wahenga usemao “kizuri chajiuza na kibaya
chajitembeza” na ule usemao “usione vyaelea ujue vimeundwa” basi yanaakisi
utakayoenda kuyaona hapa.
Kwanza kabisa utengenezaji mzuri wa
mpangilio wa mazingira yanayokuzunguka husaidia vitu vingi kama kuua wadudu
wanaokaa...
Alhamisi, 16 Julai 2015

Habari za wakati mpendwa msomaji! hivi kwa
kawaida ni watu wangapi ambao wanafikiria kujenga? hapana shaka ukifanya utafiti
utakuta kila binadamu mwenye akili timamu anafikiria kujenga. Hivyo basi twende
pamoja katika habari hii muhimu kwako.
Kabla ya yote bonyeza maandishi ya bluu
hapo chini ili kusoma habari zilizokwisha wekwa...
Jumatano, 15 Julai 2015
Habari za wakati mpedwa msomaji! yaweza kuwa mpaka sasa unajiuliza ni vigae gani unataka kutumia kwenye sehemu/vyumba vya jengo lako mfano sebuleni, jikoni, vyumba vya kulala, stoo, chooni, bafuni, nk. Basi majibu yake yapo hapo chini. Aina za vigae Kuna aina mbili za vigae 1. kutokana na malighafi/material iliyotengeneza mfano ceramic,...
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)