+255 753 066 151

ujenzielekezi04@gmail.com

Ubungo Kibangu at Kinondoni Dar-es-salaam Tanzania

Jumatano, 29 Julai 2015

PICHA NA HISTORIA YA MAPANGO YA KONDOA IRANGI (TANZANIA)

Habari za wakati mpendwa msomaji! Kuna sababu mbalimbali zilizopelekea binadamu kubadilisha mifumo ya kuishi (life style) na hii imesababisha mabadiliko makubwa sana katika upande wa ujenzi tokea kuishi kwenye vichaka na miamba/mapango mpaka sasa kwenye majengo. Hivyo basi hatuna budi kukupa historia za tamaduni zetu na maeneo...

Jumanne, 28 Julai 2015

KAMA WEWE NI FUNDI AU DALALI WA MAMBO YA UJENZI INGIA HAPA

Habari za wakati! Nia na madhumuni ya ujumbe huu ni kukujulisha wewe dalali na fundi wa mambo ya ujenzi kama vile fundi mwashi, umeme, gypsum, rangi, bati, nk. kwamba tunataka kuwasiliana na wewe kwa ajili ya mambo mbalimbali ya kibiashara na kupeana fursa. Unachotakiwa kufanya Tutumie ujumbe kwenye email hii ujenzielekezi04@gmail.com...

Jumamosi, 25 Julai 2015

LIFAHAMU BAFU MVUKE (SAUNA)

Karibu sana mpendwa msomaji wa makala hizi za ujenzi. Leo tunaendelea na mfululizo wa makala zetu za ujenzi kama ilivyoada.Leo tunaangazia kuhusu Sauna au Bafu mvuke. Huenda ulishawahi kusikia kuhusu hili neno au kupata kutumia kabisa chumba hiki.Sauna huweza kujengwa nje ya jengo kuu au likawa ndani ya jengo kuu. Sauna au ( Bafu la mvuke...

PICHA NA VITU VYA MSINGI KUWEPO KWENYE CHUMBA CHA KUPIKIA (KITCHEN)

Habari za wakati mpendwa msomaji! Karibu tena kwenye uwanja huru wa kujipatia taarifa na elimu mbadala kwa mambo ya ujenzi. Mpendwa msomaji utaratibu wa kuweka chumba cha kupikia (kitchen) kwenye nyumba ya kuishi(residential) ulianza kuzingatiwa zaidi miaka ya 1920s na katika nchi zetu za kiafrika miaka ya 1970s japo mpaka...

Jumatano, 22 Julai 2015

angalia hapa jinsi matairi mabovu ya magari yanavyotumika kama urembo kwenye jengo

Habari za wakati mpendwa msomaji! inawezekana vitu hivi ukawa ushawahi kuviona lakini jinsi umaliziaji wake ulivyokuwa ukiambiwa ni matairi usiamini. sasa hapa tuangalie baadhi ya picha zinazoonesha urembo katika majengo uliotumia matairi mabovu ya magari kama malighafi. kuona urembo mwingine unaovutia...

Jumamosi, 18 Julai 2015

JIONEE PICHA ZA NYUMBA WANAYOISHI JAY Z NA BEYONCE

Habari za wakati mpendwa msomaji! karibu tena katika blog hii inayokupatia taarifa mbalimbali na kukuelimisha katika mambo ya ujenzi. Wakati mwingine watu hawapendi kukaa nyumbani kwa sababu kuna vitu havipo nyumbani mfano mtu ni mwanamichezo na kwake hata sehemu ya kuruka kamba haipo Je atapata vipi hamu ya kukaa nyumbani? hivyo...

Ijumaa, 17 Julai 2015

JIFUNZE HAPA KWA PICHA JINSI UNAVYOWEZA KUPENDEZESHA MAZINGIRA YA JENGO LAKO

Habari za wakati mpendwa msomaji! hapana shaka ushawahi kusikia usemi wa wahenga usemao “kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza” na ule usemao “usione vyaelea ujue vimeundwa” basi yanaakisi utakayoenda kuyaona hapa. Kwanza kabisa utengenezaji mzuri wa mpangilio wa mazingira yanayokuzunguka husaidia vitu vingi kama kuua wadudu wanaokaa...

Alhamisi, 16 Julai 2015

MAMBO MAWILI(2) MUHIMU ILI KUPEWA KIBALI CHA KUJENGA JENGO

Habari za wakati mpendwa msomaji! hivi kwa kawaida ni watu wangapi ambao wanafikiria kujenga? hapana shaka ukifanya utafiti utakuta kila binadamu mwenye akili timamu anafikiria kujenga. Hivyo basi twende pamoja katika habari hii muhimu kwako. Kabla ya yote bonyeza maandishi ya bluu hapo chini ili kusoma habari zilizokwisha wekwa...

Jumatano, 15 Julai 2015

SABABU ZA KUZINGATIA UKIWA UNACHAGUA VIGAE vya kusakafia KWA UJENZI WA JENGO LAKO

Habari za wakati mpedwa msomaji! yaweza kuwa mpaka sasa unajiuliza ni vigae gani unataka kutumia kwenye sehemu/vyumba vya jengo lako mfano sebuleni, jikoni, vyumba vya kulala, stoo, chooni, bafuni, nk. Basi majibu yake yapo hapo chini. Aina za vigae Kuna aina mbili za vigae 1. kutokana na malighafi/material iliyotengeneza mfano ceramic,...
  • Popular
  • Archive
  • comments

Popular

All Rights Reserved UJENZI ELEKEZI | Mtengenezaji wa BLOGG CHIKULO +255657103506 | +255753103506