+255 753 066 151

ujenzielekezi04@gmail.com

Ubungo Kibangu at Kinondoni Dar-es-salaam Tanzania

Jumatano, 29 Julai 2015

PICHA NA HISTORIA YA MAPANGO YA KONDOA IRANGI (TANZANIA)



Habari za wakati mpendwa msomaji!
Kuna sababu mbalimbali zilizopelekea binadamu kubadilisha mifumo ya kuishi (life style) na hii imesababisha mabadiliko makubwa sana katika upande wa ujenzi tokea kuishi kwenye vichaka na miamba/mapango mpaka sasa kwenye majengo. Hivyo basi hatuna budi kukupa historia za tamaduni zetu na maeneo waliyoishi miaka hiyo na kama ukivutiwa zaidi unaweza tembelea (utalii wa ndani).
Historia ya mapango ya kondoa irangi
Mapango ya kondoa irangi yapo wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma nchini Tanzania. Yapo umbali wa kilomita tisa (9) kutoka barabara kubwa inayoelekea Arusha. Mapango haya yana michoro iliyochorwa yapata miaka 1500s iliyopita na watu wa zamani, michoro hii inaonesha umbo la binadamu akiwa anawinda, anavuka mto, akipiga kifaa cha muziki na maumbo ya wanyama ambao ni tembo, twiga na paa(palahala).
Chanzo : Ukarimu blog
Picha zingine za mapango ya kondoa irangi





Kupata historia zingine bonyeza baandishi ya blue hapo chini

USIPITWE!! Endelea kuwa nasi kwa taarifa nyingine zinazohusu ujenzi
kwa ushauri/maoni/swali wasiliana nasi kupitia
Namba ya simu: +255 753 066 151, +255 655 699 342, +255 714 835 965

0 COMMENTS

Chapisha Maoni

Popular

All Rights Reserved UJENZI ELEKEZI | Mtengenezaji wa BLOGG CHIKULO +255657103506 | +255753103506