+255 753 066 151

ujenzielekezi04@gmail.com

Ubungo Kibangu at Kinondoni Dar-es-salaam Tanzania

Jumamosi, 18 Julai 2015

JIONEE PICHA ZA NYUMBA WANAYOISHI JAY Z NA BEYONCE



Habari za wakati mpendwa msomaji! karibu tena katika blog hii inayokupatia taarifa mbalimbali na kukuelimisha katika mambo ya ujenzi.
Wakati mwingine watu hawapendi kukaa nyumbani kwa sababu kuna vitu havipo nyumbani mfano mtu ni mwanamichezo na kwake hata sehemu ya kuruka kamba haipo Je atapata vipi hamu ya kukaa nyumbani? hivyo basi ni vizuri ukiwa unafikiria kujenga nyumba ya kuishi kuangalia na mahitaji ya nafasi yako katika jamii mbali na yale tuliyozoea kama vile vyumba vya kula.
Hapa tumekuandalia picha zinazoonesha baadhi ya maeneo ya nyumba wanayokaa wasanii wakubwa duniani yaani Jay Z na Beyonce yenye thamani ya dola za kimarekani milioni 43 kwa lengo la kukuonesha ni vitu/sehemu gani ambazo wao walizipa kipaumbele kuzipendezesha ili kufanya mazingira yawe rafiki na sifa zao.
Sifa za nyumba hiyo kwa picha
  • sehemu ya mbele (front)

  • sehemu ya nyuma

  • ina vyumba vya kulala 12

chumba cha kulala (self contained)

chumba cha wageni (guest room)
  • maktaba

maktaba(library)
  • chumba cha faragha (closet) cha aina yake

closet
  • chumba cha kucheza mchezo wa kitufe (bowling)

bowling
  • sehemu ya kucheza tennis

  • chumba cha habari (media room)

media room
  • chumba cha tv (tv room)

  • chumba cha michezo

skateboarding ramp
  • chumba cha mazoezi (gym)

  • bafu la mvuke (sauna)

  • sehemu ya kuogelea (pool)

Chanzo : HOME BUNCH
kwa ushauri/maoni/swali wasiliana nasi kupitia
Namba ya simu: +255 753 066 151, +255 655 699 342, +255 714 835 965

0 COMMENTS

Chapisha Maoni

Popular

All Rights Reserved UJENZI ELEKEZI | Mtengenezaji wa BLOGG CHIKULO +255657103506 | +255753103506