+255 753 066 151

ujenzielekezi04@gmail.com

Ubungo Kibangu at Kinondoni Dar-es-salaam Tanzania

Jumatano, 5 Agosti 2015

NAMNA MBALIMBALI ZA KUPENDEZESHA DARI (CEILING) YA NYUMBA YAKO

UTANGULIZI:
Dari imekuwa ni sehemu amabayo inasahaulika sana katika ujenzi wa nyumba zetu kwa maana ya kuwa inapewa angalizo kidogo sana.
Lakini umaliziaji mzuri wa Dari huweza kuzidisha uzuri wa nyumba yako.
Dari imekuwa ikificha bomba za umeme na huduma nyingi ili kuondoa uzia kwa wakazi wa nyumba husika na kuwapa muonekano mzuri.
Ili kuweza kupata faida zote za Dari ni vyema kumpata fundi mzuri na mtaalamu mzuri au msanifu mzuri wa majengo wataoweza kusimamia kazi hiyo kwa ufanisi unaotakiwa.
Hivyo basi ni vyema tuangazie namna mbalimbali za kupendezesha au kumalizia vizuri Dari la nyumba yako.

NAMNA MBALIMBALI ZA UMALIZIAJI WA DARI:
Ni vizuri ukabaini kwanza ni nini unataka kupata au muonekano gani unataka kuupata kwa kulingana na wapi Dari lako linatarajiwa kujengwa, kwa maana ya kuwa kama ni sebuleni au vyumbani,au jikoni n.k.











USIPITWE!! Endelea kuwa nasi kwa taarifa nyingine zinazohusu ujenzi
kwa ushauri/maoni/swali wasiliana nasi kupitia
Namba ya simu: +255 753 066 151, +255 655 699 342, +255 714 835 965



0 COMMENTS

Chapisha Maoni

Popular

All Rights Reserved UJENZI ELEKEZI | Mtengenezaji wa BLOGG CHIKULO +255657103506 | +255753103506