+255 753 066 151

ujenzielekezi04@gmail.com

Ubungo Kibangu at Kinondoni Dar-es-salaam Tanzania

Jumanne, 28 Julai 2015

KAMA WEWE NI FUNDI AU DALALI WA MAMBO YA UJENZI INGIA HAPA



Habari za wakati! Nia na madhumuni ya ujumbe huu ni kukujulisha wewe dalali na fundi wa mambo ya ujenzi kama vile fundi mwashi, umeme, gypsum, rangi, bati, nk. kwamba tunataka kuwasiliana na wewe kwa ajili ya mambo mbalimbali ya kibiashara na kupeana fursa.
Unachotakiwa kufanya
Tutumie ujumbe kwenye email hii ujenzielekezi04@gmail.com au kwenye namba yetu ya simu +255 753 066 151 taarifa zifuatazo;
  • Anza na neno ujenzielekezi
  • Jina lako kamili mfano juhudi maendeleo
  • Aina ya ufundi mfano fundi rangi, kwa wale madalali andika dalali
  • Mkoa ulipo mfano Pwani
Baada ya kututumia taarifa hizo tutakutafuta kwa njia uliyotumia hapo juu (njia ya ujumbe) ndani ya masaa yasiozidi matano.
Zingatia : fata maelekezo yaliyotajwa hapo juu nasi tutakutafuta.
Mjulishe na mwingine ujumbe huu

bonyeza hayo maandishi ya blue kama wewe ni architect/msanifu majengo

USIPITWE!! Endelea kuwa nasi kwa taarifa nyingine zinazohusu ujenzi
kwa ushauri/maoni/swali wasiliana nasi kupitia
Namba ya simu: +255 753 066 151, +255 655 699 342, +255 714 835 965

0 COMMENTS

Chapisha Maoni

Popular

All Rights Reserved UJENZI ELEKEZI | Mtengenezaji wa BLOGG CHIKULO +255657103506 | +255753103506