+255 753 066 151

ujenzielekezi04@gmail.com

Ubungo Kibangu at Kinondoni Dar-es-salaam Tanzania

Jumamosi, 12 Septemba 2015

UWEKAJI (INSTALLATION) YA UMEME WA NYUMBANI KATIKA UJENZI

Habari za wakati mpendwa msomaji! tunatumaini umzima wa afya na unaendelea na majukumu yako ya kila siku. Katika ujenzi kila kazi/kitu kina muda wake mfano huwezi peleka mabati kwenye eneo unalojenga(site) wakati ndiyo kwanza unachimba msingi hivyo basi hata mfumo wa umeme unamuda wake. Kumbuka: Lengo la kukuwekea mada hii ni...

Alhamisi, 10 Septemba 2015

JE UNAFAHAMU WAKATI SAHIHI WA KUHAMIA KWENYE NYUMBA KAMA UNAJENGA KIDOGO KIDOGO?

Habari za wakati mpendwa msomaji! Karibu tena kwenye uwanja huru wa kujipatia taarifa na elimu mbadala kwa mambo ya ujenzi. Ujenzi wa nyumba ya kuishi ni jukumu ambalo kila mtu hulifikiria pale anapofikisha umri fulani wa kujitambua, mara nyingi sio kila mtu anayefikiria hupata fursa ya utekelezaji la hasha hutegemea kipato cha...
  • Popular
  • Archive
  • comments

Popular

All Rights Reserved UJENZI ELEKEZI | Mtengenezaji wa BLOGG CHIKULO +255657103506 | +255753103506