+255 753 066 151

ujenzielekezi04@gmail.com

Ubungo Kibangu at Kinondoni Dar-es-salaam Tanzania

Jumanne, 9 Juni 2015

mambo ya msingi yanayotakiwa kuwepo kwenye hoteli

Habari za wakati mpendwa msomaji wa makala zetu zinazohusu ujenzi, ni matumaini yetu umzima wa afya na unaendelea na majukumu yako ya kawaida.

katika muendelezo wetu wa kukuelimisha na kukupa taarifa mbalimbali zinazohusu ujenzi basi hapa tutaangalia ni vitu gani vinavyokuwepo kwenye hoteli. Hii ni kwa ajili ya kuwapa japo a,b,c kwa wale wanaotaka kuwekeza kwenye biashara ya hoteli, na watumiaji wengine kwa ujumla.

Hoteli ni jengo la kibiashara ambalo hutumika kwa ajili ya malazi (accomodation), mara nyingi jengo hili hujengwa maeneo ya mjini(town hotel) au maeneo yenye vivutio vya kitalii (vacation hotel).

vitu/vyumba vinavyokuwepo ndani ya hoteli.

  1. Mapokezi/reception – hapa ndipo mahali  anapokuepo mtu atakaemuelekeza mteja nini cha kufanya/kufuata11
  2. Sehemu ya kusubiri huduma(waiting area)19
  3.  vyumba vya kulala(guest room) – hivi ni vyumba vya kulala na vyote huwa vinachoo na bafu (self). na vingine huwa vina sehemu ya wageni (suit)1615
  4. sehemu ya kupikia(kitchen)

1

  1. sehemu ya kulia chakula(restaurant)13
  2. sehemu ya kufulia na kuanikia nguo(laundry) inaweza kuwa sehemu ya wazi au chumba

2

  1. ukumbi/chumba cha mikutano (conference hall/room)18
  2. ukumbi wa shughuli mbalimbali (multipurpose room/hall).17
  3. stoo ya vitu (store room)
  4. sehemu ya kunywa vinywaji(counter/ bar)12
  5. sehemu ya kubadilisha fedha za kigeni(bureau DE change).

3

  1. vyumba vya kubadilishia nguo wafanyakazi (exchanging room)
  2. chumba/sehemu ya kuweka jenereta (stand by generator) 

4

  1. sehemu ya kuegesha magari(car parking).

5

kwa ushauri/maoni/swali wasiliana nasi kupitia

email: ujenzielekezi04@gmail.com

Namba ya simu: +255 753 066 151, +255 655 699 342, +255 714 835 965

 

0 COMMENTS

Chapisha Maoni

Popular

All Rights Reserved UJENZI ELEKEZI | Mtengenezaji wa BLOGG CHIKULO +255657103506 | +255753103506