+255 753 066 151

ujenzielekezi04@gmail.com

Ubungo Kibangu at Kinondoni Dar-es-salaam Tanzania

Alhamisi, 11 Juni 2015

JINSI YA KUANZA KUCHORA KWA KUTUMIA AUTOCAD

autocad-logo

Mpendwa msomaji pole na majukumu ya kila siku katika harakati za kujenga uchumi wetu na wa nchi kwa ujumla.

Huu ni muendelezo wa mafundisho yanayohusu utumiaji wa program ya autocad, na ni matumaini yetu kuona ukituelewa kwa kile tunachokupatia.

kama hukufanikiwa kuona mafundisho yaliyopita usijali bonyeza kwenye maandishi  hapo chini

je unataka kujifunza autocad ingia hapa

jinsi ya kuandaa mazingira ya kuchorea kwenye program ya autocad

Kwa mtu yoyote anaeanza kuchora basi ni lazima ahakikishe toolbar hizi tatu za msingi zipo yaani

1. Draw toolbar – hii hutumika kwa kuchorea maumbo mbali mbali, mistari, nk.

2. Dimension toolbar – hii hutumika kwa kuonesha vipimo mbalimbali mfano kipimo cha mstari, duara, pembe, nk.

3. Modify toolbar – hii hutumika kwa kufanya marekebisho ya mistari au maumbo mbalimbali yaliyochorwa kwa draw toolbar

ili uweze kuelewa vizuri mpendwa msomaji, tumekuwekea link ya video hapo chini ambayo ukibonyeza itakupeleka moja kwa moja sehemu ambapo video ipo.Tumia fursa hii kuielewa vizuri program hii.

KUANGALIA VIDEO BONYEZA HAPA>>

kwa ushauri/maoni/swali wasiliana nasi kupitia

email: ujenzielekezi04@gmail.com

Namba ya simu: +255 753 066 151, +255 655 699 342, +255 714 835 965

0 COMMENTS

Chapisha Maoni

Popular

All Rights Reserved UJENZI ELEKEZI | Mtengenezaji wa BLOGG CHIKULO +255657103506 | +255753103506