+255 753 066 151

ujenzielekezi04@gmail.com

Ubungo Kibangu at Kinondoni Dar-es-salaam Tanzania

Alhamisi, 30 Aprili 2015

hivi ndiyo vitu vya msingi kuwepo kwenye chumba cha kulala (bedroom)

Habari za wakati huu mpendwa msomaji wa makala zetu zinazohusu ujenzi, ni matumaini yetu kwamba umzima wa afya. Leo tunataka tukupitishe kwenye vitu vinavyohitajika hasa kuwepo ndani ya chumba kiitwacho chumba cha kulala(bedroom). Kabla hatujakueleza ni vitu gani vya msingi tupate kujua ni kwanini unatakiwa uvijue. 1. kujua nafasi inayohitajika-watu...

Jumatatu, 13 Aprili 2015

HIZI NDIYO SIFA ZA NYAVU (WIRE MESH) KATIKA UJENZI

   Mpendwa msomaji wa makala zetu tunaomba radhi kwa kuwa kimya kipindi kirefu kutokana na majukumu ya hapa na pale, na kwasasa tumejipanga vizuri kukuhabarisha na kukuelimisha kuhusu ujenzi karibu sana na karibu tena.    Nyavu (wire mesh) ni moja ya malighafi zinazotumika kwenye ujenzi wa majengo mbalimbali kama nyumba...
  • Popular
  • Archive
  • comments

Popular

All Rights Reserved UJENZI ELEKEZI | Mtengenezaji wa BLOGG CHIKULO +255657103506 | +255753103506